Saturday, September 14, 2013

DIAMOND APINGA TUHUMA YA KUIBA BEAT YA WIMBO WA DYANA


Siku chache zilizopita msanii Dyana ambaye ametamba sana na wimbo wa “nivute kwako” alisema Diamond ametumia beat ya wimbo wake bila taarifa yoyote.

Beat ya my number one wa Diamond ndio beat Dyana analalamika kwamba Diamond katumia beat yake bila taarifa yoyote. Na huu ndio wimbo ambao Dyana anadai kwamba Diamond kaiba beat

Diamond Platnumz alimwambia Dyana kwamba asimpe lawama bali anachotakiwa kufanya ni kuongea na Sheddy Clever ambaye ni mtayarishaji wa ngoma yangu My Number 1.

No comments:

Post a Comment